Watoto wa mitaani na mazingira
Posted: August 1, 2011 Filed under: Watoto | Tags: mitaani, tanzania, watoto Leave a commentImeelezwa kuwa kuna sababu nyingi zinazochangia kuwepo kwa watoto wa mitaani na wale wanaoishi katika mazingira magumu hapa nchini, huku sababu kuu ikielezwa kwamba ni kuanguka kwa uchumi katika familia nyingi.
Bado kuna msaada mkubwa unotakiwa kutolewa na jamii,serikari kutokomeaza suala zima la watoto wa mitaani na hawapati misaada kwa jamii na kujishughulisha wenyewe na biashara ndogondogo.
Recent Comments