Watoto wa mitaani na mazingira

Imeelezwa kuwa kuna sababu nyingi zinazochangia kuwepo kwa watoto wa mitaani na wale wanaoishi katika mazingira magumu hapa nchini, huku sababu kuu ikielezwa kwamba ni kuanguka kwa uchumi katika familia nyingi.

Watoto kwenye mazingira magumu.

Bado kuna msaada mkubwa unotakiwa kutolewa na jamii,serikari kutokomeaza suala zima la watoto wa mitaani na hawapati misaada kwa jamii na kujishughulisha wenyewe na biashara ndogondogo.



Leave a comment